Mbeya Zonal Referral Hospital Saccoss
Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha New MZRH kilianzishwa Mwaka 2018 kikiwa na Wanachama 200.
Makao makuu ya Ushirika huu ni Hospitali ya Kanda ya Rufaa Mbeya ambayo inapatikana katika jiji la Mbeya.